Error message

Deprecated function: Optional parameter $conditions declared before required parameter $data is implicitly treated as a required parameter in include_once() (line 1439 of /home/kkktdmpor/public_html/includes/bootstrap.inc).

Navigation

Mch. Andrew Brown King’homella
ni Mkuu wa Jimbo la Kusini.

Jimbo la Kusini linajumuisha sharika 15 na mitaa 42. Eneo lake liko upande wa kusini wa kitovu cha jiji likiendelea katika Mkoa wa Pwani hadi Mto Rufiji pamoja na Kisiwa cha Mafia.

Katika jimbo hili kuna miradi ifuatayo:

  1. Mradi wa Ukarabati wa Zahanati ya Mjawa
  2. Mradi wa Ujenzi wa Ofisi za Jimbo
  3. Mradi wa Shule ya Sekondari ya Shine
  4. Miradi ya Ujenzi wa Majengo ya Ibada katika Sharika na Mitaa
  5. Miradi ya Ujenzi wa Majengo ya Nyumba za Watumishi katika Sharika na Mitaa

Anuani

S.L.P: 46115 Dar es Salaam, TANZANIA.
  • Simu: Mobile +255 717 961 315
Barua pepe: sdis@elctecd.org or kkktdsmjimbokus@yahoo.com
Eneo: Sandali-Temeke, Dar es Salaam, off Dr Omari Ali Juma Rd , eneo la Vetenary Lutheran Church

Osifi Yetu

Jina Cheo Barua pepe Simu
Mch. Andrew Brown King’homella Mkuu wa Jimbo antyking@yahoo.co.uk +255 713 329 615
Bi. Eliaika Mariki Kaimu Katibu wa Jimbo
Bw. Tumtukuze Gondo Karani tumtukuzegondo10@gmail.com +255 754 911118
Mch. Debora Elias Lusambi Mratibu wa Diakonia jimboni +255 719 145 596
Mch. Paulo S Lusambi Mratibu wa UKWATA jimboni +255 784 200 374
Mch. Alex Erasto Mwanga Mratibu wa Vijana jimboni +255 654 840 719
Mch. Prosper Regnald Chao Mratibu wa Jimbo Misioni na Uinjilisti +255 715 528 233
Mch. Matilda Nitwa Mbwambo Mratibu wa Elimu ya Kikristo jimboni +255 713 400 109
Mtk. Rhoda Julias Kimaro Kiongozi wa Parish Worker jimboni +255 762 741 924
Mwj. Frank Mwakalasya Mwinjilisti Kiongozi wa Jimbo +255 684 107 201
Bi. Lainess Kihundo Mratibu Msaidizi wa Elimu ya Kikristo +255 754 926471