Kila soma lilifuatiwa na maombi ya kutumia mbinu za kupambana na misingi ya uharibifu iliyowekwa sehemu mbalimbali za maisha ya watu wa Mungu.
The Delegation was hosted by Mbagala, Temeke, Magogoni, and Azaniafront parishes. They participated in a program organized by the host Diocese.
Jumapili ya tarehe 3 Aprili 2016, Askofu Dr. Alex Gehaz Malasusa akiambatana na familia yake, alitoa sadaka ya shukrani kwa kumaliza kipindi chake cha uongozi wa KKKT. Ibada ilifanyika katika kanisa kuu la KKKT Azaniafront