![](https://www.kkktdmp.or.tz/sites/default/files/styles/staff/public/Mch.%20Chagulilo.jpg?itok=o8HXywPJ)
Mch. Godlove Msafiri Chagulilo
ni Mkuu wa Jimbo la Kusini Magharibi. Anahudumia pia Usharika wa Pugu Kajiungeni akiwa mchungaji wake.
Jimbo la Kusini-Magharibi linaenea katika Mkoa wa Pwani nje ya jiji la Dar es Salaam. Ofisi yake iko Kisarawe mjini.
Katika jimbo hili kuna sharika 7 na mitaa 37. Maneromango ni usharika wa kale zaidi ulioanzishwa katika karne ya 19.
Anuani
S.L.P: 28048 Kisarawe Pwani TANZANIA.
- Simu: Mobile +255 715 517 368
Barua pepe: swdis@elctecd.org or gomsachajr@gmail.com
Tovuti: https://www.elctecd.org
Eneo: Kisarawe town, Pwani.
Osifi Yetu
Jina | Cheo | Barua pepe | Simu |
---|---|---|---|
Mch. Godlove Msafiri Chagulilo | Mchungaji Mkuu wa Jimbo | gomsachajr@gmail.com | 0715-517368 |
Mr. Joseph Ngairo | AMFU | josengairo@yahoo.com | 0717-009622 |
Mwj. Tikisa Paul Kaaya | Mwinjilisti | ||
Mrs. Anna L. Nyumba | Mratibu Huduma za Jamii | missanny53@yahoo.com | 0712-139758 |
Bw. Tikisael Kaaya | Mratibu Elimu Kikristo | +255 786 318 834 | |
Nsia R. Muro | Karani | nsiamuro69@gmail.com | 0758-737707 |