
Mch. Godlove Msafiri Chagulilo
ni Mkuu wa Jimbo la Kusini Magharibi. Anahudumia pia Usharika wa Pugu Kajiungeni akiwa mchungaji wake.
Jimbo la Kusini-Magharibi linaenea katika Mkoa wa Pwani nje ya jiji la Dar es Salaam. Ofisi yake iko Kisarawe mjini.
Katika jimbo hili kuna sharika 7 na mitaa 37. Maneromango ni usharika wa kale zaidi ulioanzishwa katika karne ya 19.
Anuani
S.L.P: 28048 Kisarawe Pwani TANZANIA.
- Simu: Mobile +255 715 517 368
Barua pepe: swdis@elctecd.org or gomsachajr@gmail.com
Tovuti: https://www.elctecd.org
Eneo: Kisarawe town, Pwani.
Osifi Yetu
Jina | Cheo | Barua pepe | Simu |
---|---|---|---|
Mch. Godlove Msafiri Chagulilo | Mchungaji Mkuu wa Jimbo | gomsachajr@gmail.com | + 255 628 318 251 |
Mr. Joseph Ngairo | AMFU | josengairo@yahoo.com | 0717-009622 |
Bi. Theresia Robson | Mratibu wa Ustawi wa Jamii | +255 756 644 006 | |
Bi. Tikisael Kaaya | Mratibu Elimu Kikristo | +255 786 318 834 | |
Nsia R. Muro | Karani | nsiamuro69@gmail.com | 0758-737707 |
Mch. Simon Sechome Mmbaga | Mratibu wa Elimu ya Kikristo na Vijana katika Jimbo | +255 686 502 065 | |
Mch. Kesheni Andrea Sozigwa | Mratibu wa Misioni, Uinjilisti na Diaconia jimboni | +255 786 589 021 | |
Pw. Leah Kiligo | Kiongozi wa Parish Worker wa Jimbo | +255 716-046 088 | |
Mwj. Godson Israel Mhaka | Mwinjilisti Kiongozi wa Jimbo | +255 784 997 177 |